Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania yatajwa kuwa na elimu ya kiwango cha chini zaidi ikilinganishwa na...

  Tanzania imetajwa kuwa na elimu ya kiwango cha chini kulinganisha na nchi nyingine kwenye Jumuiya ya Afrika mashariki kutokana na kutenga masaa 5:27 pekee ya kufundisha wanafunzi wake ambayo nayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za kikongwe anayedhaniwa kuwa mchawi alivyokamatwa chumbani kwa mtu...

Hili ni tukio lilitokea huko Bukoba ambalo linamhusisha Kikongwe mmoja ambaye jina lake bado halijapatikana kukutwa chumbani kwa mtu huku akiwa mtupu chumbani kwa mtu.  Mpaka sasa bado haijajulikana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sad News: Askari watano wa jeshi la polisi mkoani Dodoma wafariki dunia papo...

   Mkuu  wa  jeshi  la  polisi  nchini (IGP), Ernest Mangu ** Askari  watano  wa  jeshi  la  polisi  mkoani  Dodoma  wamefariki dunia papo  hapo  baada  ya  gari  dogo  walilokuwa  wakisafiria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baba amuua mtoto kwa kumpiga na chupa ya bia kichwani baada ya zoezi la...

Baba aliyetajwa jina moja la Shaban (25), mkazi wa Kimara-Suka, Dar anadaiwa kuhusika katika mauaji ya mtoto wake asiye na hatia, Salma Shaban (miezi sita) kwa kumpiga na chupa ya bia kichwani na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr. Nchimbi arudi Songea na kupokelewa kwa shangwe na wananchi... aomba...

MBUNGE wa Songea Mjini, Dk. Emmanuel Nchimbi (CCM), amewataka madiwani na wananchi wa jimbo hilo kumpa ushirikiano wa dhati ili akamilishe ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Undani wa ajali ya gari iliyoua Askari Polisi watano papo hapo mkoani Dodoma...

 Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma  **** Askari polisi watano mkoani Dodoma wamefariki dunia papohapo katika ajali ya gari iliyotokea 31/01/2014 majira ya 23.45 hrs katika barabara kuu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watanzania 100 wahukumiwa kunyongwa nchini China

ZAIDI ya Watanzania 100 waliopatikana na hatia ya kuingiza dawa za kulevya nchini China, wamehukumiwa kunyongwa. Habari za kuaminika zilizolifikia gazeti hili zimesema, idadi hiyo ya Watanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete kuhutubia taifa kesho kutoka jijini Mbeya

Rais Jakaya Kikwete, kesho atahutubia taifa akiwa mkoani Mbeya. Taarifa ya Ikulu iliyotolewa jana Dar es Salaam ilisema Rais hatatoa hotuba ya mwisho wa mwezi, badala yake atahutubia taifa kesho kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA wafanya fujo msibani, Polisi watumia mabomu ya machozi kuwatawanya

Polisi mjini Musoma wametumia mabomu ya machozi kudhibiti ghasia zilizoibuka, baada ya wafuasi wa Chadema kupambana na mbunge wa zamani wa Musoma Mjini, Vedastus Mathayo. Walifanya fujo juzi jioni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jokate amfanyia "suprise" Wema Sepetu wakati akikata mauno jukwaani

  Jokate na Wema historia yao ilianzia kwenye shindano la kumtafuta Miss Tanzania 2006 ambapo Mshindi alikua ni Wema Sepetu akifatiwa na Jokate kisha mshindi wa tatu akiwa Lissa Jensen.    Vichwa  vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wilfred Lwakatare amponda Mwigulu Nchemba .....Adai kuwa kitendo cha Mwigulu...

Mkurugenzi wa Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare, amemwelezea Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Mwigulu Nchemba kuwa mmoja wa watu wasiojua mahesabu kutokana na kauli yake kwamba chama hicho kinatumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wasaliti na wakaidi sasa basi...CCM nayo yatangaza kunyoosha makucha yake kwa...

Chama Cha Mapiduzi (CCM), kimetishia kuwatimua mara moja, wanachama wasaliti na wasiokubali kushindwa wakati wa kura za maoni za kuwania kuteuliwa ili kugombea urais, ubunge na udiwani.   Tishio hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa maalumu kwa wanaotaka kufanya mtihani wa kidato cha nne na maarifa 2014

Baraza la Mitihani la Tanzania linapenda kuwakumbusha watu wote wanaotaka kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT)  mwezi Novemba,  2014  kama Watahiniwa wa Kujitegemea kwamba kipindi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za Mwenyekiti wa CCM ,Rais Jakaya Kikwete alipowasili jijini Mbeya jana...

Mwenyekiti wa chama cha CCM,Rais Jakaya Kikwete akiwapungia Viongozi mbalimbali wa chama,Serikali,na viongozi wa dini na watu mbalimbali (hawapo pichani) waliofika kumpokea mara baada kuwasili  jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete alipoongoza matembezi ya...

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Rais Jakaya Kikwete  akiwapungia mkono baadhi ya Wananchi (hawapo pichani),walioshirikia matembezi ya mshikamano yaliyoanzia viwanja vya Soweto,kuelekea kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ufungaji wa viti kwa ajili ya matumizi ya bunge la katiba wakamilika.... Hizi...

Mhe Spika Anne Makinda akikagua kazi baada ya ufungaji wa Vito ndani ya ukumbi huo kukamilika.Mwingine pichani ni Mkandarasi Dr.David Zachariah wa Computer Consult ambao ni wakandarasi wa mradi huo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM yavuana wasanii kibao walioamua kujiunga na chama hicho jijini Mbeya...

Chama  cha  mapinduzi  CCM leo  kimevuna  makumi  ya  wasanii  wa  Bongo  movie  na  Bongo  Fleva  ambao  leo   wameamua  kuvunja  ukimya  wao  na  kujiunga  na  siasa  rasmi.. Wasanii  hao  wamejiunga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete avunja ukimya kuhusu Mawaziri Mizigo....Ampongeza Kinana kwa...

NA BASHIR NKOROMO, MBEYA MWENYEKITI wa CCM, Rais Jakaya Kikwete leo amevunja ukimya na kuzungumzia suala la mawaziri waliotuhumiwa na wananchi kuwa mizigo wakati wa ziara za Katibu Mkuu wa CCM,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM yashinda ubunge katika uchaguzi mdogo wa jimbo la KiembeSamaki ambalo...

 Mshindi wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar Mhe. Mahmuod Thabit Kombo, akizungumza na Waandishi wa habari na kutoa shukrani kwa wapiga kura wake na WanaCCM waliomuunga mkono katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askari watano waliofariki kwa ajali ya gari mkoani Dodoma waagwa leo kwa...

Askari Polisi waliofariki katika ajali ya gari ya kugongana uso kwa uso na basi la Mohamed Trans wameagwa leo Mkoani Dodoma tayari kwa mazishi. Akiongea kwa masikitiko Kamishna Msaidi Mwandamizi wa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>