Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tanzania yatajwa kuwa na elimu ya kiwango cha chini zaidi ikilinganishwa na nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika mashariki

$
0
0
  Tanzania imetajwa kuwa na elimu ya kiwango cha chini kulinganisha na nchi nyingine kwenye Jumuiya ya Afrika mashariki kutokana na kutenga masaa 5:27 pekee ya kufundisha wanafunzi wake ambayo nayo hayatumiki ipasavyo kutokana na asilimia 50 ya walimu kutoingia madarasani. Miongoni mwa masaa yanayotumika kufundisha wanafunzi hao ni robo ya masaa yaliyotengwa na hivyo kutishia nguvu kazi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>