Baba aliyetajwa jina moja la Shaban (25),
mkazi wa Kimara-Suka, Dar anadaiwa kuhusika katika mauaji ya mtoto wake
asiye na hatia, Salma Shaban (miezi sita) kwa kumpiga na chupa ya bia
kichwani na kusababisha mshipa mkubwa wa damu kukatika kichwani.
Akilisimulia Risasi Jumamosi mkasa huo wa
kuumiza moyo, mama mzazi wa mtoto huyo, Matlida Amon alieleza kuwa tukio
hilo lilijiri maeneo
↧