Mkuu wa jeshi la polisi nchini (IGP), Ernest Mangu
**
Askari watano wa jeshi la polisi mkoani Dodoma wamefariki dunia papo hapo baada ya gari dogo walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la Mohammed Trans limited katika eneo la Mtumba Dodoma mjini usiku wa kuamkia leo
Ajali hiyo mbaya imetokea majira ya saa sita usiku wa
↧