Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Dr. Nchimbi arudi Songea na kupokelewa kwa shangwe na wananchi... aomba ushirikiano ili CCM iendelee kuibuka na ushindi kwenye chaguzi kama ilivyozoeleka

$
0
0
MBUNGE wa Songea Mjini, Dk. Emmanuel Nchimbi (CCM), amewataka madiwani na wananchi wa jimbo hilo kumpa ushirikiano wa dhati ili akamilishe ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita.   Wito huo aliutoa jana wakati akizungumza na wananchi mbalimbali waliokwenda kumpokea uwanja wa ndege, nje ya ofisi za CCM za mkoa wa Ruvuma na kusema hivi sasa atafanya kazi kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles