Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CHADEMA wafanya fujo msibani, Polisi watumia mabomu ya machozi kuwatawanya

$
0
0
Polisi mjini Musoma wametumia mabomu ya machozi kudhibiti ghasia zilizoibuka, baada ya wafuasi wa Chadema kupambana na mbunge wa zamani wa Musoma Mjini, Vedastus Mathayo. Walifanya fujo juzi jioni baada ya mjumbe huyo wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) kudaiwa kuingilia safari ya Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Willbroad Slaa ya kwenda kwenye msiba wa Sheikh wa Mkoa wa Mara Athumani

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>