Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete kuhutubia taifa kesho kutoka jijini Mbeya

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete, kesho atahutubia taifa akiwa mkoani Mbeya. Taarifa ya Ikulu iliyotolewa jana Dar es Salaam ilisema Rais hatatoa hotuba ya mwisho wa mwezi, badala yake atahutubia taifa kesho kutoka mjini Mbeya ambako atafanya ziara ya kikazi ya siku tatu iliyoanza jana.   Pamoja na mambo mengine atashiriki kwenye maadhimisho ya miaka 37 ya CCM. <!-- adsense -->

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>