Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watanzania 100 wahukumiwa kunyongwa nchini China

$
0
0
ZAIDI ya Watanzania 100 waliopatikana na hatia ya kuingiza dawa za kulevya nchini China, wamehukumiwa kunyongwa. Habari za kuaminika zilizolifikia gazeti hili zimesema, idadi hiyo ya Watanzania waliofungwa katika magereza mbalimbali nchini humo, wanaendelea kusubiri adhabu hiyo. Taarifa zaidi zinaeleza, adhabu hiyo haijatekelezwa, kwa kile kilichodaiwa kuwapo kwa mazungumzo, kuona

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>