ZAIDI ya Watanzania 100 waliopatikana na hatia ya kuingiza dawa za
kulevya nchini China, wamehukumiwa kunyongwa. Habari za kuaminika
zilizolifikia gazeti hili zimesema, idadi hiyo ya Watanzania waliofungwa
katika magereza mbalimbali nchini humo, wanaendelea kusubiri adhabu
hiyo.
Taarifa zaidi zinaeleza, adhabu hiyo haijatekelezwa, kwa
kile kilichodaiwa kuwapo kwa mazungumzo, kuona
↧