Jokate na Wema historia
yao ilianzia kwenye shindano la kumtafuta Miss Tanzania 2006 ambapo
Mshindi alikua ni Wema Sepetu akifatiwa na Jokate kisha mshindi wa tatu
akiwa Lissa Jensen.
Vichwa vya habari vilikuja kutengenezwa tena vikiwahusisha warembo hawa kuonekana wako na
mtu mmoja ambapo magazeti na mitandao mingi iliandika mahusiano haya yaliyokua
yakimhusu Diamond
↧