Mkurugenzi wa Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare, amemwelezea
Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Mwigulu Nchemba kuwa mmoja wa watu
wasiojua mahesabu kutokana na kauli yake kwamba chama hicho kinatumia
fedha za ufisadi kuruka anga kwa anga.
Nchemba ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha, hivi
karibuni alikaririwa na baadhi ya vyombo vya habari nchini, akiziponda
ziara za Chadema kuwa
↧