Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wasaliti na wakaidi sasa basi...CCM nayo yatangaza kunyoosha makucha yake kwa wasaliti wote ndani ya chama hicho

$
0
0
Chama Cha Mapiduzi (CCM), kimetishia kuwatimua mara moja, wanachama wasaliti na wasiokubali kushindwa wakati wa kura za maoni za kuwania kuteuliwa ili kugombea urais, ubunge na udiwani.   Tishio hilo lilitolewa jana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana alipokuwa akiwahutubia wananchi wa Kata ya Nsalaga jijini Mbeya.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>