Mhe
Spika Anne Makinda akikagua kazi baada ya ufungaji wa Vito ndani ya
ukumbi huo kukamilika.Mwingine pichani ni Mkandarasi Dr.David Zachariah
wa Computer Consult ambao ni wakandarasi wa mradi huo wa ufungaji
viti.Vito hivyo ni mahsusi kwa matumizi ya Bunge la Katiba.
Viti vipya tayari kwa matumizi ya Bunge Maalum la Katiba.
Dr
David Zachariah wa Computer Consult
↧