Chama cha mapinduzi CCM leo kimevuna makumi ya wasanii wa Bongo movie na Bongo Fleva ambao leo wameamua kuvunja ukimya wao na kujiunga na siasa rasmi..
Wasanii hao wamejiunga na CCM leo jijini Mbeya wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 37 ya chama hicho zilizofanyika kitaifa jijini Mbeya chini ya Mwenyekiti wake, Rais Jakaya
↧