Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Picha za mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete alipoongoza matembezi ya mshikamano wakati wa maadhimisho ya miaka 37 ya CCM jijini Mbeya leo

$
0
0
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Rais Jakaya Kikwete  akiwapungia mkono baadhi ya Wananchi (hawapo pichani),walioshirikia matembezi ya mshikamano yaliyoanzia viwanja vya Soweto,kuelekea kwenye bustani iliyopo nje ya uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya mapema leo asubuhi,ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 kuzaliwa kwa chama cha CCM.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>