Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Picha za Mwenyekiti wa CCM ,Rais Jakaya Kikwete alipowasili jijini Mbeya jana jioni kwa ajili ya maadhiisho ya miaka 37 ya CCM leo

$
0
0
Mwenyekiti wa chama cha CCM,Rais Jakaya Kikwete akiwapungia Viongozi mbalimbali wa chama,Serikali,na viongozi wa dini na watu mbalimbali (hawapo pichani) waliofika kumpokea mara baada kuwasili  jana  jioni  kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe  tayari kwa kuongoza maadhimisho ya sherehe za miaka 37 ya chama hicho yanayofanyika kwenye uwanja wa kumbukumbu wa Sokoine mjini humo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>