Mwenyekiti
wa chama cha CCM,Rais Jakaya Kikwete akiwapungia Viongozi mbalimbali wa
chama,Serikali,na viongozi wa dini na watu mbalimbali (hawapo pichani)
waliofika kumpokea mara baada kuwasili jana jioni kwenye
uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe tayari kwa kuongoza maadhimisho
ya sherehe za miaka 37 ya chama hicho yanayofanyika kwenye uwanja wa
kumbukumbu wa Sokoine mjini humo.
↧