Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Askari watano waliofariki kwa ajali ya gari mkoani Dodoma waagwa leo kwa uchungu tayari kwa mazishi

$
0
0
Askari Polisi waliofariki katika ajali ya gari ya kugongana uso kwa uso na basi la Mohamed Trans wameagwa leo Mkoani Dodoma tayari kwa mazishi. Akiongea kwa masikitiko Kamishna Msaidi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME amewashukuru watu waliojitokeza kuungana pamoja kuaga miili ya Askari hao. Pia amewataka madereva wote kuwa waangalifu wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>