Askari
Polisi waliofariki katika ajali ya gari ya kugongana uso kwa uso na
basi la Mohamed Trans wameagwa leo Mkoani Dodoma tayari kwa mazishi.
Akiongea
kwa masikitiko Kamishna Msaidi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME
amewashukuru watu waliojitokeza kuungana pamoja kuaga miili ya Askari
hao.
Pia
amewataka madereva wote kuwa waangalifu wanapokuwa wanaendesha vyombo
vya moto na
↧
Askari watano waliofariki kwa ajali ya gari mkoani Dodoma waagwa leo kwa uchungu tayari kwa mazishi
↧