Mshindi wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar Mhe.
Mahmuod Thabit Kombo, akizungumza na Waandishi wa habari na kutoa
shukrani kwa wapiga kura wake na WanaCCM waliomuunga mkono katika
safari ya Kampeni na kuahidi kutimiza ahadi zote alizoahidi kwa Wananchi
wa Jimbo la Kiembesamaki na kuondoa kero zote na kuwaletea maendeleo
katika jimbo lao.
Mgombea wa Chama cha SAU
↧