Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CCM yashinda ubunge katika uchaguzi mdogo wa jimbo la KiembeSamaki ambalo awali lilikuwa likiongozwa na Mansour Yussuf Himid

$
0
0
 Mshindi wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar Mhe. Mahmuod Thabit Kombo, akizungumza na Waandishi wa habari na kutoa shukrani kwa wapiga kura wake na WanaCCM waliomuunga mkono katika safari ya Kampeni na kuahidi kutimiza ahadi zote alizoahidi kwa Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki na kuondoa kero zote na kuwaletea maendeleo katika jimbo lao.   Mgombea wa Chama cha SAU

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>