Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lulu Michael kusomewa mashitaka ya kuua bila kukusudia tarehe 17 ya mwezi huu

  Msanii wa filamu Elizabeth Michael Kimemeta (18), maarufu kama Lulu (pichani) anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya bila kukusudia ya msanii mwenzake Steven Kanumba (28), anatarajia kujibu mashitaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtu mmoja akutwa amejinyonga maeneo ya ufukwe wa spice motel beach huko Kagera

Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Bahati maarufu kwa uuzaji wa mifuko ya plastiki maeneo ya stand kuu ya mabasi Bukoba amekutwa kajinyonga juu ya mti  maeneo ya ufukwe wa Spice Motel majira ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vijana wanaswa wakijisaidia katika masinki ya kunawia ndani ya uwanja wetu wa...

Pichani juu ni baadhi ya wadau wa Soka waliokutwa hivi karibuni wakijisaidia kwenye masinki ya kunawia mikono kama waonekanavyo pichani. Hapa baada ya kumaliza shughuli yao haoo wakaondoka,je wahusika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Atangaza majina ya wajumbe wa bunge la katiba ....Bofya hapa kuyaona

UTANGULIZI 1. Uteuzi wa Wajumbe wa Bunge la Katiba Unatawaliwa na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura, 83 (The Constitutional Review Act, Cap 83). Sheria hii inaweka mamlaka ya uteuzi, masharti,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya Ofisi ya Lowassa kuhusu kurasa zenye jina lake facebook, twitter...

Kumekuwa na kurasa (accounts) mbalimbali zenye jina la Mhe. Edward Lowassa katika mitandao ya kijamii kama vile Facebook, Twitter, Instagram n.k. zinaonekana mmiliki wake ni Mhe. Edward Lowassa. Ukweli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mshahara kima cha chini ni 720,000/-

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limependekeza mshahara wa kima cha chini uwe sh  720,000. TUCTA imekuja na pendekezo hilo huku kukiwa na taarifa kwamba serikali imepandisha kiinua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Wanaohoji Lowassa kutengenezewa fulana zenye picha yake na ujumbe wa...

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Talib Ali Talib, amesema wanachama na viongozi wanaohoji Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa kutengenezewa fulana zenye picha yake na ujumbe wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwalimu wa Shule ya Msingi ajinyonga chooni kwa madai ya msongo wa mawazo.

MWALIMU wa Shule ya Msingi Mwang’osha Kata ya Nyamalongo wilayani Shinyanga, Christipian Mafuru (24) amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa madai ya msongo wa mawazo.   Mafuru ambaye alitumia kamba ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shule Dar taabani, walimu wakalia khanga chini ya miti

Shule ya Msingi Mtambani  iliyoko Kinondoni jijini  Dar es Saalam, haina  samani  hali inayosababisha wanafunzi kukaa chini, wakati walimu wanalazimika kutandaza khanga wanazokalia chini ya miti....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu tisa watiwa mbaroni kwa tuhuma za mauaji ya wanawake wawili wanaodaiwa...

  Na Chibura Makorongo, Simiyu. Jeshi la polisi mkoani Simiyu linawashikilia watu tisa wakiwemo wanawake wawili wa kijiji cha Mwabulimbu wilayani Maswa kwa tuhuma za mauaji ya kikatili ya kina mama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jambazi mkuu aliyekuwa anasakwa na jeshi la polisi kwa mauaji ya watu 8 huko...

   Mkuu wa jeshi la polisi nchini ** via Imma Matukio — Jambazi mkuu anayetuhumiwa kujihusisha na matukio ya mauaji na unyang'anyi wa kutumia silaha yaliyo tokea Wilayani Tarime kuanzia 26 hadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nape alaani vitendo vya kikatili na kinyama vinavyofaywa na CHADEMA.....

  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza.Nape alisema kitendo cha wana CCM kushambuliwa ni kitendo cha kinyama na kinatakiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shilole ayazungumzia MADONGO aliyorushiwa na Baby Madaha, "najua kuna vitu...

Baada ya msanii wa Candy n Candy, Baby Madaha kufunguka akimchana wazi msanii mwenzake wa kike, Shilole  kwa kudai kuwa nyimbo zake haziwezi kulinganishwa na nyimbo anazofanya Shilole, Shilole nae...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jose Chameleone amuonesha mkewe 'Danniella' anavyompenda kwa kuchora tattoo...

Wakati tunaelekea katika ile siku inayoaminika kuwa siku ya wapendanao ‘Valentine’s Day’, mkali wa Valuvalu Jose Mayanja Chameleone ameamua kumuonesha mkewe Daniella na dunia nzima jinsi anavyompenda,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK Cheni adai filamu yake ya 'Nimekubali Kuolewa' haichochei USHOGA kama bodi...

Uamuzi wa bodi ya Filamu Tanzania (TFB) kuizuia filamu ya muigizaji wa kiume na mkongwe, Dk Cheni ‘Nimekubali Kuolewa’, kwa madai ya kukiuka maadili na kuchochea tabia za ushoga, umepingwa na msanii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video ya wimbo wa Shakira na Rihanna yadaiwa kuchochea USAGAJI na uvutaji...

  Video ya wimbo wa Shakira ‘Cant Remember to Forget You’ aliyompa shavu mwimbaji mwenzake wa Caribbean, Rihanna imekosolewa vikali na mwanasiasa mmoja nchini Colombia anayefahamika kwa jina la Marco...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askari wa usalama barabarani ajikuta katika wakati mgumu baada ya kulipiga...

Tukio hili limetokea kwenye mji mkuu  wa  Kenya  ambao ni Nairobi pale Rais Uhuru Kenyatta wa  nchi  hiyo  alipotumia gari moja tu bila msafara akitokea Ikulu kwenda kwenye hoteli moja kwa ajili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maaskofu, Masheikh waeleza uhusiano wao na wanaowania urais 2015

VIONGOZI wa dini nchini wamesema kuwa uhusiano wao na watu wanaoutaka urais mwaka 2015 si wa kisiasa, bali ni wa kiimani zaidi. Kauli hiyo ya viongozi wa dini imekuja wakati ambao baadhi ya wanasiasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA na CCM kupambana leo katika uchaguzi wa madiwani

Uchaguzi wa madiwani katika Kata za Malindo wilayani Rungwe na Santiliya katika Wilaya ya Mbeya Vijijini  mkoani  Mbeya , unafanyika leo.   Msimamizi wa Uchaguzi wa Kata ya Malindo, Stephen Mwakingwe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto wa aliyekuwa waziri wa fedha ( marehemu Dr. Mgimwa ) ashinda kura za...

  Godfrey Mgimwa, mmoja wa watoto wa Marehemu Dkt William Mgimwa, akiongea kwa niaba ya familia wakati wa mazishi ya baba yake kijijini Magunga jimbo la Kalenga mkoani Iringa.  -- Na Francis Godwin,...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>