Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mshahara kima cha chini ni 720,000/-

$
0
0
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limependekeza mshahara wa kima cha chini uwe sh  720,000. TUCTA imekuja na pendekezo hilo huku kukiwa na taarifa kwamba serikali imepandisha kiinua mgongo kwa wabunge kutoka sh milioni 43 za awali hadi sh milioni 160, pamoja na nyongeza ya mishahara na posho zao.   Pendekezo hilo la TUCTA lilitangazwa jana na Katibu Mkuu wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>