Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Wanaohoji Lowassa kutengenezewa fulana zenye picha yake na ujumbe wa ‘Friends of Lowassa’ (Marafiki wa Lowassa) ni washamba".. Talib Ali Talib

$
0
0
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Talib Ali Talib, amesema wanachama na viongozi wanaohoji Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa kutengenezewa fulana zenye picha yake na ujumbe wa ‘Friends of Lowassa’ (Marafiki wa Lowassa) ni washamba.  Akizungumza na Tanzania Daima jana, mjumbe huyo alisema haikuwa sahihi kwa Waziri Mkuu mstaafu John Samuel Malecela kushangaa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>