Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Taarifa ya Ofisi ya Lowassa kuhusu kurasa zenye jina lake facebook, twitter na instagram

$
0
0
Kumekuwa na kurasa (accounts) mbalimbali zenye jina la Mhe. Edward Lowassa katika mitandao ya kijamii kama vile Facebook, Twitter, Instagram n.k. zinaonekana mmiliki wake ni Mhe. Edward Lowassa. Ukweli ni kwamba hizo zote hazimilikiwi na Mhe. Lowassa. Kwa maana hiyo chochote kinachoandikwa au kuchapishwa kwenye kurasa hizo  hazihusiani kwa namna yoyote na Mhe Lowassa.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>