Video ya wimbo wa Shakira ‘Cant Remember to Forget You’ aliyompa
shavu mwimbaji mwenzake wa Caribbean, Rihanna imekosolewa vikali na
mwanasiasa mmoja nchini Colombia anayefahamika kwa jina la Marco Fidel
Ramirez, akidai kuwa kinyume cha maadili na hivyo kuwaharibu watoto
wadogo.
Marco Fidel, ameiomba serikali ya Colombia kuipiga marufuku video
hiyo ama vipande vya video hiyo
↧