Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Askari wa usalama barabarani ajikuta katika wakati mgumu baada ya kulipiga mkono na kulizuia gari alilokuwa amepanda mheshimiwa Rais.

$
0
0
Tukio hili limetokea kwenye mji mkuu  wa  Kenya  ambao ni Nairobi pale Rais Uhuru Kenyatta wa  nchi  hiyo  alipotumia gari moja tu bila msafara akitokea Ikulu kwenda kwenye hoteli moja kwa ajili ya kukutana  na Wanafamilia.    Toka amechukua madaraka, Rais Uhuru Kenyatta  amekuwa na tabia ya  kutumia  gari  moja  tu  bila  msafara, tofauti na Rais Kibaki ambaye kila sehemu aliyotia mguu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>