Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Maaskofu, Masheikh waeleza uhusiano wao na wanaowania urais 2015

$
0
0
VIONGOZI wa dini nchini wamesema kuwa uhusiano wao na watu wanaoutaka urais mwaka 2015 si wa kisiasa, bali ni wa kiimani zaidi. Kauli hiyo ya viongozi wa dini imekuja wakati ambao baadhi ya wanasiasa wamewaelekezea lawama kuwa wanatumiwa vibaya na watu wanaoutaka urais mwaka 2015. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na gazeti la Mtanzania  viongozi hao walisema uhusiano wao na wanasiasa,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>