Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

DK Cheni adai filamu yake ya 'Nimekubali Kuolewa' haichochei USHOGA kama bodi ya filamu ilivyoichukulia na kuamua kuizuia

$
0
0
Uamuzi wa bodi ya Filamu Tanzania (TFB) kuizuia filamu ya muigizaji wa kiume na mkongwe, Dk Cheni ‘Nimekubali Kuolewa’, kwa madai ya kukiuka maadili na kuchochea tabia za ushoga, umepingwa na msanii huyo ambaye anaamini kabisa kuwa maudhui ya filamu hiyo yangeelimisha jamii zaidi ya picha katika cover yake.   Dk Cheni ameiambia Global Publishers kuwa picha iliyoko kwenye bango la

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>