Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ yapewa jukumu jipya nchini Kongo la kuwasambaratisha waasi wengine wa...

VIKOSI vya Tanzania vinavyolinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), chini ya mwavuli wa Umoja wa Mataifa (Monusco), vimepewa jukumu jipya la kuwasambaratisha waasi wa kundi la Allied...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sad News: Basi la Zuberi lapinduka na kuua wanne papo hapo...Chanzo cha ajali...

  Hii  ni  picha  ya  maktaba ( si ya tukio la leo ) ** BASI la Zuberi lenye namba T119 AA2 limepata ajali mbaya katika kijiji cha Nkuhi wilaya ya Ikungi Mkoa wa Singida na watu wanne wameripotiwa kufa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajira: Utaratibu wa kujiunga na jeshi la polisi kwa wahitimu watarajiwa wa...

  Katika mwaka wa fedha 2014/2015 Jeshi la Polisi linatarajia kuajiri wahitimu wa kidato cha sita mwaka 2014 na kidato cha nne mwaka 2013. Ili kutekeleza azma hii tumeweka fomu kwenye tovuti ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa Fedha (Sera) Mhe. Mwigulu Nchemba azungumza na TRA na kutoa...

  Na Habari Kwanza Blog — Naibu Waziri wa Fedha (Sera) Mhe. Mwigulu Nchemba hii leo asubuhi (Tar. 05/02/2014) amekutana na Watendaji/Watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Hazina Ndogo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya Wizara ya fedha kukanusha malipo ya milioni 160 kwa wabunge...

TANGAZO KWA UMMA Katika siku za hivi karibuni, baadhi ya magazeti yamekuwa yakitoa taarifa za upotoshaji juu ya suala la kuongezeka kwa malipo ya pensheni kwa Waheshimiwa Wabunge. Magazeti hayo yanadai...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya kukatika kwa mawasiliano ya mtandao wa Vodacom- Tanzania

Dar es Salaam, 5 Februari, 2014.Tunapenda kuwaomba radhi wateja wetu wote kwa kushindwa kutoa huduma za mawasiliano kuanzia asubuhi ya Februari  5, 2014. Hii imetokana na kukatika kwa mkonga wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkuu wa jeshi la polisi nchini, IGP Ernest Mangu afanya mabadiliko ya baadhi...

Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa mikoa, wakuu wa upelelezi wa mikoa, wakuu wa usalama barabarani wa mikoa pamoja na watendaji wengine wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge wa CHADEMA, Diwani wake na wanachama 14 wafikishwa mahakamani kwa...

Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki (Chadema), Sylvester Kasulumbayi na Diwani wa Kata ya Buselesele, Crispian Kagoma na watu wengine 14 wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kujeruhi katika vurugu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe aibuka na DVD

WAKATI Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, akijipanga kuanza ziara katika mikoa kadhaa nchini kujibu mapigo ya tuhuma dhidi yake zilizotolewa na baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi 8 watuhumiwa kumtesa mahabusu mwanamke kwa kumvua nguo na kumwingizia...

ASKARI Polisi saba wa kiume na mmoja wa kike, wanakabiliwa na tuhuma za kumtesa mahabusu mwanamke kwa kumvua nguo na kumwingizia chupa ya bia katika sehemu za siri.   Akizungumza mbele ya Hakimu Mkazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge wa Arusha Mjini Chadema, Godbless Lema akamatwa na jeshi la Polisi na...

Mbunge wa Arusha Mjini Chadema, Godbless Lema amekamatwa na Jeshi la Polisi jijini Arusha na kisha  kuachiwa  baada  ya  mahojiano  ya  masaa  kadhaa.... Lema  alikamatwa  ili   kuhojiwa kuhusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari kamili kuhusu vurugu kubwa za wakulima zilizotokea eneo la Melela,...

MABOMU ya machozi yalitumika   leo  mchana  kuwatawanya wakulima wa eneo la Melela, Mvomero mkoani Morogoro waliokuwa wamefunga barabara ya Iringa - Morogoro wakimtaka Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa afikishwa mahakani...

  Na Francis Godwin, Iringa MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (48) leo amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Iringa akituhumiwa kwa kosa la kujeruhi katika kampeni za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete afungua mkutano wa baraza la vyama vya siasa jijini Dar leo

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia jambo wakati akitoa hotuba yake kwenye ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa leo Februari 6, 2014 katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtuhumiwa amuua askari polisi kwa kumpiga jiwe

Askari polisi F. 5264 PC Sabato (37) wa Kituo cha Polisi cha Longido, wilayani Monduli, ameuawa kwa kupigwa jiwe na mtuhumiwa aliyekuwa akimpeleka mahabusu katika Gereza la Kisongo.    Kamanda wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kitale wa bongo movie amkata mapanga adui yake na kutenganisha kichwa na...

Maigizo mengi sana nchini huwa yanalalamikiwa kukosa uhalisia wa tukio,hebu tumia dakika zako chache kuangalia namna picha hizi zilivyochanganywa ambazo zinamuonyesha Kitale kama kamkata kichwa huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke adondoka ghafla jijini Mwanza akiwa njiani kuelekea kwa mganga wa...

  Baadhi ya  vitu  alivyokuwa  navyo  Sharon: Mwanamke  mmoja  aliyefahamika  kwa  jina  la  Sharon Justice Laiza, mkazi wa  Kilimahewa  jijini  Mwanza amefariki dunia  katika  mazingira  ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya Malawi kutangaza kuwa baadhi ya vijiji vya Tanzania ni mali ya...

JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesema haliogopi vitisho vya aina yoyote vinavyotolewa na Serikali ya Malawi kutokana na mgogoro uliopo. Hatua hiyo imetokana na viongozi waandamizi wa Serikali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge la Katiba kuanza Februari 18, Rais Kikwete kutangaza majina leo

Rais Jakaya Kikwete jana alitangaza rasmi kuwa Bunge la Katiba litaanza  Februari 18, mwaka huu. Aidha, alisema kuwa atatangaza majina ya wajumbe wa Bunge hilo leo. Akizungumza kwenye kikao maalumu cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanaume afumaniwa na mke wa mtu wakifanya uchafu ndani ya gari bovu

Arobaini (40) za mke wa mtu zimetimia baada ya kunaswa ndani ya gari akifanya uzinifu na kijana mmoja mtanashati ‘Sharobaro’ aliyejitambulisha kwa jina la Athumani (26) maeneo ya Bamaga Mwenge, jijini...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>