Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Habari kamili kuhusu vurugu kubwa za wakulima zilizotokea eneo la Melela, Mvomero mkoani Morogoro na kusababisha barabara kufungwa

$
0
0
MABOMU ya machozi yalitumika   leo  mchana  kuwatawanya wakulima wa eneo la Melela, Mvomero mkoani Morogoro waliokuwa wamefunga barabara ya Iringa - Morogoro wakimtaka Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera aende kusuluhisha mgogoro uliopo baina yao na wafugaji.   Wakulima hao walikuwa wakidai kuwa wenzao watano jana walivamiwa na wafugaji wa kabila la Wamasai na kuwajeruhi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>