Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baada ya Malawi kutangaza kuwa baadhi ya vijiji vya Tanzania ni mali ya Malawi, JWTZ yakerwa, yadai haitaogopa vitisho vyovyote

$
0
0
JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesema haliogopi vitisho vya aina yoyote vinavyotolewa na Serikali ya Malawi kutokana na mgogoro uliopo. Hatua hiyo imetokana na viongozi waandamizi wa Serikali ya Malawi, kutangaza baadhi ya vijiji vya Tanzania vilivyopo kilomita 10 kutoka mpakani mwa Ziwa Nyasa kuwa ni mali yao. Hatua ya JWTZ imekuja siku chache baada ya Rais Jakaya Kikwete

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>