Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanamke adondoka ghafla jijini Mwanza akiwa njiani kuelekea kwa mganga wa jadi.... Afariki dunia masaa machache baada ya kupelekwa hospitali

$
0
0
  Baadhi ya  vitu  alivyokuwa  navyo  Sharon: Mwanamke  mmoja  aliyefahamika  kwa  jina  la  Sharon Justice Laiza, mkazi wa  Kilimahewa  jijini  Mwanza amefariki dunia  katika  mazingira  ya  kutatanisha   baada  ya  kudondoka  ghafla  akiwa  njiani  kueleakea  kwa  mgonga  wake  aishiye  Kiseke, Ilemela  Mwanza... Kwa  mujibu  wa    mashuhuda  wa  tukio  hilo  lililotokea  juzi  saa  kumi 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>