Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunge la Katiba kuanza Februari 18, Rais Kikwete kutangaza majina leo

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete jana alitangaza rasmi kuwa Bunge la Katiba litaanza  Februari 18, mwaka huu. Aidha, alisema kuwa atatangaza majina ya wajumbe wa Bunge hilo leo. Akizungumza kwenye kikao maalumu cha Baraza la Vyama vya Siasa jijini Dar es Salaam jana, Rais Jakaya Kikwete alisema maandalizi kwa ajili ya Bunge hilo yanaendelea vizuri na kilichobaki ni marekebisho madogo madogo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles