ASKARI Polisi saba wa kiume na mmoja wa kike, wanakabiliwa na tuhuma za kumtesa mahabusu mwanamke kwa kumvua nguo na kumwingizia chupa ya bia katika sehemu za siri.
Akizungumza mbele ya Hakimu Mkazi wa mjini Sumbawanga, Rosalia Mugissa, mshitakiwa katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha, Clara God (32), alidai kufanyiwa unyama huo na askari wa kiume mbele ya askari mwanamke.
↧