Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkuu wa jeshi la polisi nchini, IGP Ernest Mangu afanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa jeshi la polisi nchini...Bofya hapa ujionee

$
0
0
Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa mikoa, wakuu wa upelelezi wa mikoa, wakuu wa usalama barabarani wa mikoa pamoja na watendaji wengine wa vikosi na vitengo mbalimbali ndani ya Jeshi la Polisi. Miongoni mwa makamanda wa mikoa waliofanyiwa mabadiliko ni pamoja na: 1. Aliyekuwa kamanda wa Mkoa wa Ruvuma Kamishna msaidizi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>