Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sad News: Basi la Zuberi lapinduka na kuua wanne papo hapo...Chanzo cha ajali ni bibi kizee aliyekuwa akikatisha barabarani

$
0
0
  Hii  ni  picha  ya  maktaba ( si ya tukio la leo ) ** BASI la Zuberi lenye namba T119 AA2 limepata ajali mbaya katika kijiji cha Nkuhi wilaya ya Ikungi Mkoa wa Singida na watu wanne wameripotiwa kufa papo hapo kwa kukatwa vichwa huku majeruhi wengi wakiwa wameumia vibaya sehemu mbalimbali za mwili.   Akizungumza kutoka eneo la tukio leo mchana huu, mwandishi wa habari, Nathanieli

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>