Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari
katika ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza.Nape alisema kitendo cha wana CCM
kushambuliwa ni kitendo cha kinyama na kinatakiwa kikemewe na kila
mtu,pia alisisitiza Vijana wa CCM kuwalinda wapigaji kura wao siku ya
kupiga kura.
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisisitiza jambo wakati wa
mkutano
↧