Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu tisa watiwa mbaroni kwa tuhuma za mauaji ya wanawake wawili wanaodaiwa kuzuia mvua kunyesha mkoani Simiyu

$
0
0
  Na Chibura Makorongo, Simiyu. Jeshi la polisi mkoani Simiyu linawashikilia watu tisa wakiwemo wanawake wawili wa kijiji cha Mwabulimbu wilayani Maswa kwa tuhuma za mauaji ya kikatili ya kina mama wawili kuuawa na kuchomwa moto kwa kudaiwa kuzuia mvua kunyesha.  Mbali  na   wanawake hao polisi pia inawashikilia viongozi wakuu wa jeshi la ulinzi wa jadi "Sungusungu" akiwemo Mtemi  na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>