Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BILIONEA MWINGINE AUAWA KWA KUPIGWA RISASI JIJINI DAR

MAUAJI ya wafanyabiashara wakubwa ‘mabilionea’ yameshika kasi nchini ambapo baada ya tajiri mkubwa Arusha, Erasto Msuya kuuawa kwa risasi hivi karibuni, Agosti 3, 2013 bilionea Elia Daniel Endeni (49)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DOGO JANJA AMPIGIA MAGOTI MADEE ILI AMRUDISHE TENA TIP TOP CONNECTION

Kuna kila ishara kuwa meli ya Watanashati Entertainment iliyomchukua Dogo Janja kwa mbwembwe nyingi, inaelekea kuzama na abiria wawili waliosalia, Dogo Janjaro na PNC wameanza kutafuta maboya haraka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CLINTON AMPONGEZA RAIS KAGAME.....ANADAI KUWA TUHUMA DHIDI YAKE...

Aliyekuwa rais wa marekani Bill Clinton amempongeza rais wa Rwanda Paul Kagame kwa  mafanikio ya  nchi yake  licha ya madai kwamba amekuwa akiunga mkono makundi ya waasi katika Jamuhuri ya Kidemokrasia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABINTI WAWILI WAKAMATWA AIRPORT NA MADAWA YA KULEVYA YENYE THAMANI YA...

Vitendo vya usafirishaji wa madawa ya kulevya vinazidi kuendelea duniani na safari hii wasichana wawili wadogo kabisa, mmoja ana umri wa miaka 19 na mwingine ana umri wa miaka 20 wote wawili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA NDO MAJINA 250 YA WAUZA UNGA NA BANGI NCHINI TANZANIA.

<!--[if gte mso 9]> Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4<![endif]--><!--[if gte mso 9]>

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHID BENZ ASIMULIA JINSI ALIVYOTHIRIWA NA BANGI NA MADAWA YA...

  Rapper Chidi Benz leo kwa mdomo wake mwenyewe amekiri kuwa alikuwa akitumia madawa ya kulevya kwa miaka mingi. Chidi amefunguka leo kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM. Alisema japo hakwenda Nairobi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANYARWANDA WALIOTIMULIWA TANZANIA WAKIMBILIA UGANDA AMBAKO NAKO WAMEKATALIWA

Wengi wa wahamiaji haramu waliokuwa mkoani Kagera ambao wengi wao ni wanyarwanda wamekimbilia Uganda kama wakimbizi lakini makambi ya wakimbizi huko Uganda yamekataa kuwapokea. Pamoja na serikali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAFUKUZA MADIWANI 8 WA MANISPAA YA BUKOBA

  Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, leo kimewafukuza madiwani 8 wa Manispaa ya Bukoba kupitia chama hicho na kufutwa nyadhifa zao za udiwani kutokana na mgogoro uliokuwa ukiendelea Waliofukuzwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NITAENDELEA KUTETEA HAKI ZA WAISLAMU NA SITARUDI NYUMA NA RISASI ZAO...

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda amesema alichanganyikiwa kiasi cha kushindwa kujielewa kwa muda baada ya kupigwa risasi.   Akizungumza katika mahojiano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI ATEKWA HUKO MOSHI NA KUFANYISHWA NGONO KWA SIKU NNE

MWANAFUNZI wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Marangu inayomilikiwa na kanisa Katoliki jimbo la Moshi, (jina limehifadhiwa) alitekwa na kukufungiwa kwenye hoteli moja ya kitalii mjini hapa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKUTANA NA "WAVUTA BANGI WASTAAFU" IKULU...... AMEITAKA JAMII...

  RAIS Jakaya Kikwete ameiagiza Wizara ya Afya kupitia kitengo cha magonjwa ya akili pamoja na Tume ya Kuratibu Udhibiti wa Dawa za Kulevya nchini kushirikiana na Kituo cha Ushauri Nasaha cha Pili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAKTARI AMTANDIKA NGUMI MGONJWA BAADA YA KUPISHANA KAULI....

  Daktari mmoja nchini Urusi, Andrey Votyakov (bingwa katika fani ya usingizi) mapema mwezi uliopita alitimuliwa kazi baada ya video ya chumba cha upasuaji inayorekodi matukio (surveillance camera)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTU NA MDOGO WAKE WAOANA JIJINI DAR ....POLISI WAINGILIA KATI NA KUDAI KWAMBA...

Kaka mtu akitiwa mbaroni MWANAFUNZI wa kidato cha pili jina kapuni (16), amejikuta akiozeshwa na wazazi wake kwa mwanaume aliyetambulika kwa jina la Kaizilege Jabiri (31) ambaye ni mtoto wa mama yake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE NNAUYE AAGIZA MADIWANI WALIOFUKUZWA HUKO BUKOBA WARUDISHWE KAZINI HARAKA

Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Kagera jana tarehe 13/08/2013 katika kikao chake cha siku moja kilichofanyika mjini Bukoba imetangaza uamuzi wake wa kuwafutia dhamana ya CCM hivyo kuwavua Udiwani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REFA APIGWA MPAKA KUTOA MAVI HUKO SUMBAWANGA BAADA YA KUTUHUMIWA KUIPENDELEA...

  Mwamuzi na wachezaji watatu wa timu ya Serengeti SC ya wilayani Sumbawanga mkoani  Rukwa wamelazwa kwenye kituo cha Afya cha Laela baada kushambuliwa na kwa kupigwa sehemu mbalimbali za mwili katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEIKH PONDA ASOMEWA MASHITAKA YA UCHOCHEZI AKIWA HOSPITALINI

Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda amesomewa mashitaka ya uchochezi na Mwanasheria wa serikali, akiwa wodini MOI anapoendelea kupata matibabu. Sheikh Ponda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA UTUPU YA MSHIRIKI WA BIG BROTHER TOKA NIGERIA YANASWA.....WADAU...

<!-- adsense --> Hivi unaweza kuamini mshiriki huyu ameweka rekodi ya BBA house baada ya kutokuwa nominated kwenye jumba la BBA tangu mashindano yaanze.  Baadhi  ya  wadau  wameanza  kudai  kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA MAPOKEZI YA FEZA KESSY UWANJA WA NDEGE DAR

Mwakilishi wa Tanzania katika jumba la Big Brother 'The Chase' aliyetolewa Jumapili Agosti 11 Feza Kessy amewasili leo jioni Tanzania katika uwanja wa kimataifa wa Mwl J.K Nyerere jijini Dar es Salaam....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA NDO MASHITAKA ALIYOSOMEWA SHEIKH PONDA AKIWA HOSPITALINI

KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda (54), amesomewa shtaka akiwa kitandani katika Kitengo cha Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa ya Fahamu (MOI)....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAWEZI " KU SEX " MPAKA ASHIKILIE NA MKONO.......HUU NDO UFUMBUZI WA TATIZO

Mimi ni msichana nimewahi kuwa na rafiki wa kiume hapo nyuma, huyo kaka alikua tu kama rafikiyangu baadae ikatoke tukapendana na kuwa mtu na girlfriend wake I mean tulianza kutoka kama wapenzi. Huyo...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>