KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda
Issa Ponda (54), amesomewa shtaka akiwa kitandani katika Kitengo cha
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa ya Fahamu (MOI).
Katika shtaka hilo, Ponda anadaiwa kuwahamasisha wafuasi wake kufanya kosa.
Mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Hellen Riwa, Mwendesha
Mashtaka wa Serikali, Tumaini Kweka,
↧