Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

HAYA NDO MASHITAKA ALIYOSOMEWA SHEIKH PONDA AKIWA HOSPITALINI

$
0
0
KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda (54), amesomewa shtaka akiwa kitandani katika Kitengo cha Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa ya Fahamu (MOI). Katika shtaka hilo, Ponda anadaiwa kuwahamasisha wafuasi wake kufanya kosa.   Mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Hellen Riwa, Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Tumaini Kweka,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles