Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMKO LA JESHI LA POLISI KUHUSU SHEIKH PONDA ISSA PONDA

1.  MNAMO TAREHE 10, AGOSTI ,2013 MAJIRA YA SAA 8 MCHANA, MAENEO YA SHULE YA MSINGI KIWANJA CHA NDEGE MANISPAA YA MOROGORO,  KULIFANYIKA KONGAMANO LA BARAZA LA EID LILILOANDALIWA NA UMOJA WA WAHADHILI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA SHEIKH PONDA ALIPOPELEKWA MUHIMBILI PAMOJA NA PICHA ZA MAJERAHA YAKE

VIDEO IKIONYESHA SHEHE PONDA AKIWASILI HOSPITALI<!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AGNESS MASOGANGE AMPONZA AY NA MWANA FA HUKO AFRIKA KUSINI....

Msanii Madee alivyokuwa airport huko South Africa alipekuliwa sana kutokana na historia ya kukamatwa kwa watanzania na madawa ya kulevya kwenye viwanja vya ndege vya huko South Africa.  Tukio hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FEZA KESSY AONDOLEWA KATIKA SHINDANO LA BIG BROTHER AFRCA...

  Dada  yetu  aliyekuwa  akituwakilisha  katika  shindano  la  Big Brother Africa  ameondolewa  rasmi  usiku  huu.... Kwa  sasa  Tanzania  hatuna  mwakilishi  tena  ndani  ya  jumba  hilo. Habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DANGURO LA UCHI LAFUMULIWA BUGURUNI DAR..... GHARAMA YA CHUMBA NI 1200/=...

JUMBA linalodaiwa kutumika kuendesha shughuli za ukahaba limebainika kuwapo katika eneo la Buguruni, jijini Dar es Salaam.Uchunguzi uliofanywa na Tanzania Daima, umebaini kuwapo kwa jumba ambalo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAUME AFIA GESTI AKIFANYA MAPENZI NA MPENZI WAKE JIJINI DAR

MFANYABIASHARA wa sokoni Kariakoo jijini Dar ambaye pia ni mkazi wa Kigogo Flesh, Hamad Kiponda (46), amefia nyumba ya kulala wageni akiwa na mpenzi wake Latifa Saidi (25). Kamanda wa Polisi Mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOMFIKISHA KILELENI MPENZI WAKO NI SAWA NA KOSA LA JINAI AMBALO HUKUMU YAKE...

Ndoa yoyote ambayo mke au mume hafiki kilele hiki cha Mlima Kilimanjaro…,hiyo siyo ndoa inayokwenda sawa na kuna madhara makubwa kwa pande zote, kwa maana ya mwingine kuweza kuamua kutoka.   Ni vizuri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI YA FEZA KESSY ILIFIKIA TAMATI JANA USIKU NDANI YA JUMBA LA BIG...

Hatimaye safari ya Tanzania katika Big Brother ‘The Chase’ imefikia tamati jana (August 11) baada ya mshiriki pekee aliyekuwa amesalia Feza Kessy kutolewa. Feza ambaye amefanikiwa kudumu kwenye mchezo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEIKH PONDA AWEKWA CHINI YA ULINZI MKALI WA POLISI.....JUMUIYA YA KIISLAM...

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda yupo chini ya ulinzi huku akitibiwa majeraha katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.  Sheikh Ponda alisafirishwa usiku wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE AMUUA MPENZI WAKE KWA KUMCHOMA MOTO AKIMTUHUMU KUWA NI MWIZI HUKO...

Mzozo wa wapenzi wawili usiku, umesababisha mmoja wa kike kupiga mayowe ya kumuita mwenzake mwizi, akavamiwa na watu waliompiga na kumchoma moto hadi kufa. Kisa hicho kimetokea mkazi wa Magazini mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NIKIFA SIHITAJI KAMATI YOYOTE YA KUENDESHA MSIBA WANGU .....KAMA WALIKULA ZA...

  MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini Ney wa Mitego, ameweka wazi kuwa ikitokea amefariki dunia hatohitaji kamati kwa ajili ya kuendesha mipango ya msiba wake, kwa kile anachodai kuwa kamati hizo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"JAPO NILITUHUMIWA KUGAWA PENZI GESTI, LAKINI NIMEPIMA NA SINA UKIMWI.......

Baada  ya  kukabiliwa  na  skendo  ya  kugawa  uroda  kwa  msanii  Nasry  ndani  ya  Gesti, Rose  ndauka  ameamua  kukimbilia  hospitalini  ili  kuchukua  vipimo  vya  gonjwa  hatari  la  Ukimwi........

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCRA YAJIPANGA KUZIFUNGA SIMU ZOTE ZA KICHINA ( SIMU FEKI )

Mamlaka ya mawasiliano nchini, TCRA inaandaa utaratibu wa kufunga simu zote ambazo hazina viwango vya ubora stahiki kwa lengo la kuzuia uingizwaji wa bidhaa hizo nchini ambazo zimekuwa zikiuzwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALTER CHILAMBO AFUNGUKA BAADA YA NAY WA MITEGO KUMTUHUMU KUWA NI MASIKINI WA...

Baada ya maneno na tuhuma nzito za Ney wa Mitego dhidi ya Mshindi wa Epiq Bongo Star Search mwaka 2012, Walter Chilambo kuwa  huenda  amedhulumiwa zawadi yake ya ushindi, Shilingi Milioni 50 na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"VIONGOZI WANAOMTETEA SHEIKH PONDA NI WANAFIKI WAKUBWA.....WAKATI ANAHUBIRI...

Hii  ni  kauli  ya  mtoto  wa  kigogo   hapa  nchini  maarufu  kwa  jina  la  William  Malecela  ambayo  ameitoa  kupitia  blog  yake  akiuelezea  mtazamo  wake  kuhusu  Sakata  la  Ponda  kupigwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUMEPOTEZA UKURASA WETU WA FACEBOOK....TUNAWAOMBA WASOMAJI WETU WAJIUNGE UPYA...

  Mpendwa  msomaji wetu, tunaomba  radhi  kwa  kutukosa  katika  ukurasa wetu wa facebook  ambao  uliingiliwa  na  watu  wasio  na nia  njema. Tumelazimika  kufungua  ukurasa  mpya ili  kurahisisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAKWATA YATAKA KAMANDA WA POLISI MOROGORO AJIUZULU KUPISHA UCHUNGUZI WA...

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limelaani vikali tukio la polisi kumjeruhi Katibu wa Jumuiya na Taasisi ya Kiislamu, Sheikh Issa Ponda na limetaka kuundwa kwa tume huru kuchunguza tukio hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI LATANGAZA DAU LA MILIONI 100 KWA MTU YEYOTE ATAKAYELITAJA...

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limetangaza dau la Sh100 milioni kwa mtu atakayewezesha kupatikana kwa taarifa za kundi la uhalifu linalojihusisha na vitendo vya kuwamwagia maji baadhi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAZOEZI MATATU YA KUZUIA MATITI YA MWANAMKE YASILALE NA KUWA MALAPA

<!-- adsense --> Ikiwa wewe umechelewa(ulikuwa hujui hili wakati matiti yako yanaota) basi msaidie mdogo wako au binti yako anaekuwa hivi sasa, ili asije kujisikia vibaya pale wanaume...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAISHA YA RAIS KIKWETE YAKO HATARINI....

JENGO la ghorofa 19 lililojengwa karibu na Ikulu ya Dar es Salaam linadaiwa kuhatarisha maisha ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete, UWAZI limefuatilia kwa umakini. Uchunguzi uliofanywa umebaini kuwa, jengo...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>