Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

JESHI LA POLISI LATANGAZA DAU LA MILIONI 100 KWA MTU YEYOTE ATAKAYELITAJA KUNDI LINALOMWAGIA WATU TINDIKALI

$
0
0
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limetangaza dau la Sh100 milioni kwa mtu atakayewezesha kupatikana kwa taarifa za kundi la uhalifu linalojihusisha na vitendo vya kuwamwagia maji baadhi ya watu yanayodhaniwa ni tindikali.  Hatua hiyo inatokana na vitendo hivyo kushamiri maeneo mbalimbali nchini.   Kamanda wa Polisi Kanda hiyo, Suleiman

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>