Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"MAPAJA YANGU NDO KILA KITU" DIVA WA CLOUD FM

Loveness Diva  sasa  kaamua  kuyapromote  mapaja  yake baada ya  kuchoka  kumpaisha  mpenzi  wake..... Kupitia  account  yake  ya  instagram, jana  Diva  alitupia  picha  ya  paja  lake  na  kuwaacha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"ZIWA NYASA LOTE NI MALAWI, TANZANIA HAINA HATA PUNJE YA ENEO".... MGOMBE...

Mgombea Urais wa Democratic Progressive Party (DPP) nchini Malawi, Peter Mutharika, amesema hakuna sababu za kufanya majadiliano kuhusu Ziwa Malawi ambalo Tanzania wanaliita Ziwa Nyasa.    Mutharika,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEHA ALIYEKUTWA NA BANGI ATIMULIWA KAZINI HUKO UNGUJA

SERIKALI katika mkoa wa Kusini Unguja, imemtimua kazi Sheha wa Kitumba, Mtwana Kificho, ambaye wiki iliyopita nyumbani kwake alikutwa na majani makavu yanayosadikiwa kuwa bangi baada ya polisi kufanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAY C AENDELEA KUSIMULIA JINSI ALIVYOSHAWISHIWA KUVUTA BANGI NA MADAWA...

Kipande cha mwisho cha kipindi cha The Interview cha Clouds TV ambapo kilihusisha mahojiano na mwanamuziki Rehema Chalamila aka Ray C kilirushwa jana usiku. Katika sehemu hiyo Ray C alizungumzia jinsi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAUMINI WA KIISLAMU WACHOMANA VISU JIJINI MBEYA ...SHEIKH AUMIZWA VIBAYA...

WAUMINI wa dini ya Kiislamu waliokuwa katika ibada ya Swala ya Idd El Fitri katika msikiti mkuu wa Ijumaa uliopo Wilayani Kyela mkoani Mbeya wamekumbwa na taharuki baada ya Shekhe wao aliyekuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NAPE NA CCM NI AMA AIUE AU IMUUE"...HII NI KAULI YA GAZETI LA MAWIO...

  Video mbili zimepachikwa hapo chini baada ya hoja ifuatayo ya Ben Saanane — Nape Nnauye anadhalilisha vijana wenzake na Wazee, Madaraka aliyopewa ni makubwa kwake   Nimesikitishwa sana na kauli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI LATANGAZA DAU LA MILIONI 10 KWA MTU YEYOTE ATAKAYEWATAJA WATU...

  Zanzibar, Tanzania — Kamanda wa Polisi, Kamishna Musa Ali Musa amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kutoa Shilingi milioni 10/= kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa zitakazofanikisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA MSANII LADY GAGA AKITAMBIKA HUKU AKIWA UCHI YAVUJA

<!-- adsense -->   Katika  hali  isiyo ya  kawaida, video ya  msanii Lady Gaga  akitambika  uchi  wa  mnyama  yanaswa.... Katika video  hiyo, msanii  huyo  anaoneka  akiondoa  mikosi  yake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASICHANA WALIOMWAGIWA TINDIKALI ZANZIBAR WAMERUDISHWA UINGEREZA....VYOMBO...

Mama mwenye hasira wa mmoja wa wasichana wa Uingereza waliomwagiwa acid mjini Zanzibar ameungana na bintiye nchini humo baada ya jana  kuwasili kwa ndege kwenye hospitali kwaajili ya matibabu. Katie...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTAMBO WA DAWA ZA KULEVYA WAINGIZWA NCHINI.....

  Wakati matukio ya baadhi ya vigogo na wasanii maarufu wanaotuhumiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulenya hayajapoa, imebainika kuwa mtambo maalumu wa kuchanganya na kuziongezea thamani dawa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA MFANYABIASHARA AKIMLAWITI MFANYAKAZI WAKE WA DUKANI HUKO MOSHI...

Mfanyabiashara mashuhuri wa mjini Moshi, (jina linahifadhiwa) ameingia katika kashfa nzito baada ya kurekodi mkanda wa video ukimwonyesha akimlawiti mfanyakazi wake wa dukani.    Kifungu namba 154 cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RWANDA YAMJIBU RAIS KIKWETE.....YADAI IKO TAYARI KUWAPOKEA WANYARWANDA...

Serikali ya Rwanda imetoa tamko linaloonyesha kutoielewa kauli ya Rais Jakaya Kikwete, iliyoamuru wahamiaji haramu kuondoka nchini, hali inayoonekana kukwepesha hoja.    Rwanda kupitia waziri wake wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA AMLAWITI MTOTO WAKE WA KIUME NA KUMBAKA SHEMEJI YAKE JIJINI DAR

Binti aliyebakwa akiwa na mtoto aliyelawitiwa. MWANAUME aliyefahamika kwa jina moja la Mohammed, mkazi wa Kigamboni jijini Dar amedaiwa kuwafanyia unyama watoto wawili, akimlawiti mwanaye wa kufikia na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO AZALIWA NA UVIMBE WA MKIA KICHWANI MKOANI MARA....MSAADA WAHITAJIKA...

  MTOTO mchanga wa kike wa eneo la Sabasaba wilayani Tarime  Mkoa wa Mara, Maria Samwel anatakiwa kuhamishiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando ya jijini Mwanza kwa ajili kuondolewa uvimbe wa ajabu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIJANA ATIWA MBARONI KWA KUFANYA MAPENZI NA NG'OMBE HUKO KILIMANJARO........

JESHI la polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia kijana mwenye umri wa miaka 15 mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari Kelamfua iliyopo wilayani Rombo baada ya kukutwa akimwingilia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEIK PONDA ADAIWA KUPIGWA RISASI NA POLISI MKOANI MOROGORO LEO JIONI.

Taarifa  toka  Morogoro  zinaarifu  kwamba  Sheikh Ponda  amepigwa  risasi  na  polisi  baada  ya  wafuasi wake  kuandamana..... Taarifa  hizo  zinaeleza  kwamba  Sheikh  Ponda   alikuwa  akiendesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KISA CHA SHEIK PONDA KUPIGWA RISASI MKOANI MOROGORO CHABAINIKA......

KATIBU wa Jumuiya ya Kiislamu nchini , Shekhe Ponda Issa Ponda, alijikuta katika wakati mgumu baada ya kuumizwa na kitu kinachodhaniwa kuwa ni risasi kwenye bega lake la kulia wakati akiekelea katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAY WA MITEGO ATEMANA NA DEMU WAKE.....

 JANA  Nay wa Mitego alikuwa akiandika ujumbe wenye mafumbo kwenye Instagram na baada ya kuusoma ndani ya mistari  ilibainika kuwa  huenda mambo si mazuri kati yake na mpenzi wake ambaye hivi karibuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"WASANII WENGI WA BONGO MOVIE NI OMBA OMBA...ACCOUNT ZAO HAZINA KITU"... BATULI

Batulli  ambaye  ni mmoja wa waigizaji wa kike warembo nchini na ambaye jina lake halisi ni Yobnesh Yussuph aka Nesh, amefunguka kwenye Twitter kuwa licha ya soko la movie kupanuka, waigizaji wengi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 3 ZA SHEIKH PONDA AKIWA HOSPITALINI BAADA YA KUPIGWA RISASI BEGANI

SHEIKH PONDA  ISSA  PONDA Sheikh Ponda leo akiwa HOSPITALINI akisubiri matibabu baada ya kupigwa Risasi huko Morogoro<!-- adsense -->

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>