Mama mwenye hasira wa mmoja wa wasichana wa Uingereza waliomwagiwa
acid mjini Zanzibar ameungana na bintiye nchini humo baada ya jana
kuwasili kwa ndege kwenye hospitali kwaajili ya matibabu.
Katie Gee, aliyefunikwa blanket, na rafiki yake Kirstie Trup
wakiwasili kwenye hospitali ya Chelsea and Westminster nchini Uingereza
kutibiwa majeraha yao
Mama huyo, Nicky Gee alionekana
↧