Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MTAMBO WA DAWA ZA KULEVYA WAINGIZWA NCHINI.....

$
0
0
  Wakati matukio ya baadhi ya vigogo na wasanii maarufu wanaotuhumiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulenya hayajapoa, imebainika kuwa mtambo maalumu wa kuchanganya na kuziongezea thamani dawa hizo upo hapa nchini. Taarifa zilizolifikia gazeti hili zimeeleza kuwa mtambo huo ambao awali ulikuwa unapatikana Mombasa, Kenya, pekee, unatumika kuchanganya dawa za kulevya na kemikali

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>