Serikali ya Rwanda imetoa tamko linaloonyesha kutoielewa kauli
ya Rais Jakaya Kikwete, iliyoamuru wahamiaji haramu kuondoka nchini,
hali inayoonekana kukwepesha hoja.
Rwanda kupitia waziri wake wa Mambo ya Nje, Louise
Mushikiwabo, ilikaririwa ikieleza kwamba hawatajibu mapigo agizo la
Rais Jakaya Kikwete ya kuwataka Wanyarwanda wote waliolowea Magharibi
mwa Tanzania kuondoka haraka.
↧