Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPDATE: UWANJA WA NDEGE WA JOMO KENYATTA WAWAKA MOTO ASUBUHI HII

Moto mkubwa unaripotiwa kuzuka asubuhi hii katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyetta (JKIA) jijini Nairobi. Chanzo cha moto huo bado hakijatambulika na juhudi za kuuzima zinaendelea, ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA UWANJA WA NDEGE WA JOMO KENYATTA KUWAKA MOTO, ABIRIA WAMEPELEKWA...

  Habari zinasema kwamba baada ya saa tatu za ku pambana na janga hilo, hatimaye moto huo umeweza kudhibitiwa na hakuna mtu aliyeripotiwa kudhurika.  Abiria waliokuwa wanasafiri wamepelekwa mahotelini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SKENDO YA KUMPIGA RIHANNA YAMKERA CHRISS BROWN...ANADAI KACHOKA KUANDIKWA...

  Chris Brown anafikiria kuachana kabisa na muziki siku za usoni na amesema huenda X ikawa albam yake ya mwisho.  Breezy ametumia akaunti yake ya Twitter kuelezea kuchoshwa na kuandikwa vibaya kila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA TUKIO ZIMA LA MLIPUKO WA MOTO KATIKA UWANJA WA NDEGE WA JOMO KENYATTA

Hii ni video ya tukio zima la mlipuko wa moto uliotokea leo asubuhi katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta<!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZAZI WAKATAZA WALIMU WASIWAFUNDISHE WATOTO WAO JINSI YA KUTUMIA CONDOM

  Imeelezwa kuwa Baadhi ya wazazi na walezi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamekuwa wakiwazuia walimu kutoa elimu ya njia ya kujikinga na ukimwi kwa watoto wao wa sule za msingi ikiwemo matumizi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHOGA APOTEZA MAISHA BAADA YA KUFANYA MAPENZI NA WANAUME WATATU KWA AHADI YA...

  Hii  ni  picha  ya  shoga  toka Nigeria  ambaye  anadaiwa  kupoteza  maisha  ndani ya gesti baada  ya  kufanya  mapenzi  na  wanaume    watatu  kwa  ahadi  ya  dau  nono..... Taarifa  zinadai  kwamba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SABABU MBILI ZILIZOMFANYA MADAM RITA AIHAMISHIE BONGO STAR SEARCH TBC1

  Epiq Bongo Star Search ya mwaka 2013 haitaoneshwa tena kupitia ITV. Mwaka huu shindano hilo la kusaka vipaji vya kuimba litakuwa likioneshwa kupitia TBC1.  Kupitia Facebook, Rita Paulsen aka Madam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAKATA LA MFANYABIASHARA WA MADINI ALIYEPIGWA RISASI 6 JIJINI ARUSHA LEO MCHANA

  Habari zilizopatikana majira ya saa kumi kasoro robo alasiri ya leo zinafahamisha kuwa, Mfanyabiashara maarufu wa madini mkoani Arusha na mmiliki wa hoteli amepigwa risasi na watu wasiojulikana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIBU: MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU AUMBUKA BAADA YA KUTUPIA PICHA YAKE YA UCHI...

<!-- adsense -->   Mwanafunzi   wa  chuo  kimoja  hapa  nchini  ameambulia  aibu  ya  mwaka  baada  ya  picha  zake  chafu  kuvuja katika  mtandao  wa  facebook  wakati  "akichati"  na   darling...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DUDU BAYA ATIWA MBARONI KWA KOSA LA KUCHOMA MOTO NYUMBA YA MSANII MWENZAKE

MSANII wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini ‘Dudu Baya’ ameswekwa rumande kwa kudaiwa kuchoma nyumba ya baba wa msanii mwenzake ‘Geez Mabovu’, Mashaka Mrisho. Tukio hilo lilitokea Agosti 1, mwaka huu ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHUMBA WA MTU ATUPWA SEGEREA BAADA YA KUNASWA AKIJUZA JIJINI DAR

Siku za  mwizi  ni 40....  Kauli hiyo ya wahenga ilitimia Jumatatu iliyopita kufuatia msichana Pili Baraka (21) aliyevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake hivi karibuni  kujikuta akitupwa Gereza la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO MCHANGA AZALIWA NA JINSIA MBILI HUKO RUVUMA..... HANA MACHO WALA PUA

Mganga mfawidhi wa Hospitali ta Wilaya ya Tunduru Dkt. Joseph Ng'ombo akimuangalia mtoto huyo aliyezaliwa akiwa hana macho, pua na Shavu linalo shika mdomo wa juu, kushoto ni mkunga wa zamu katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAY C ASIMULIA KILICHOMFANYA AANZE KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA........LAWAMA...

   Muimbaji wa ‘Niwe Nawe Milele’ Rehema Chalamila aka Ray C jana alifanya interview ya kwanza ya TV tangu takriban miezi 10 iliyopita baada ya kujichimbia kupata matibabu ya madhara aliyokuwa amepata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"SIJAWAHI ONA MWANAUME MZURI KAMA PREZZO HAPA DUNIANI "...DIVA WA CLOUDS FM

Kwa  mara  nyingine  tena,  mtangazaji  wa  Clouds fm  maarufu wa  jina  la  DIVA  amejitosa Istagram  na  kuanza  kuisifia  suruali yake ( Prezzo)  huku  akiwaponda  wanaume  wa  kibongo  na  wale...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIHADHARA YA SHEIKH PONDA YAPIGWA MARUFUKU KATIKA ARDHI YA ZANZIBAR

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imempiga marufuku Katibu wa Jumuiya ya taasisi ya Kiislamu shekhe Issa Ponda Issa kuendesha mihadhara ya kidini katika ardhi ya Zanzibar yenye muelekeo wa kuleta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKUBWA WA UUME SI KIGEZO CHA KUMRIDHISHA MPENZI WAKO..... CHA MSINGI NI KUWA...

-Imeandikwa  na Dinah. Utajuaje kuwa ni kubwa au ndogo? Obviously ni kwa kujipima....lakini wanaume wengi wanapenda au hata kujisifia kuwa wao ni wakubwa, wakidhani ni moja ya sifa au hitaji la muhimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFYA YA MSANII MATUMANI IMEIMARIKA KIDOGO NA AMEREJEA TENA KATIKA FANI YAKE...

BAADA ya kutoka nchini Msumbiji akiwa hoi, msanii wa vichekesho Bongo, Tumaini Mwakibibi ‘Matumaini’ hatimaye amepata nguvu na ameanza kujikongoja katika kazi ya uigizaji.   Akiongea na  mwandishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIGOGO WALIOMTUMA AGNESS MASOGANGE WABANWA....MMOJA AFUNGIWA ACCOUNT ZAKE

HABARI zilizochimbuliwa kwa undani zinadai kuwa tayari vigogo wawili waishio nchini wamebanwa na Jeshi la Polisi Tanzania wakituhumiwa kumtuma Masogange kupeleka madawa ya kulevya nchini Afrika Kusini....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHADHIRI UDSM AUAWA KIKATILI, WAZUNGU WAWILI WAMWAGIWA TINDIKALI ZANZIBAR

Mauaji, mashambulizi ya kudhuru mwili na uporaji vimeendelea kuchafua taswira ya Tanzania baada ya juzi, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kuuawa kwa kupigwa risasi na watu ambao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YAMEBAKI MASAA 24 TU KWA WAHAMIAJI HARAMU KUONDOKA NCHINI KWA HIARI YAO...

  Zikiwa zimesalia saa 24  kabla ya kumalizika kwa muda uliotolewa na Rais Jakaya Kikwete kwa wahamiaji haramu kuondoka nchini au kuhalalisha ukaazi wao na wenye silaha kuzisalimisha, makundi ya...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>