Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

BAADA YA UWANJA WA NDEGE WA JOMO KENYATTA KUWAKA MOTO, ABIRIA WAMEPELEKWA HOTELINI NA NDEGE ZITATUA UWANJA WA MOI

$
0
0
  Habari zinasema kwamba baada ya saa tatu za ku pambana na janga hilo, hatimaye moto huo umeweza kudhibitiwa na hakuna mtu aliyeripotiwa kudhurika.  Abiria waliokuwa wanasafiri wamepelekwa mahotelini na ndege zilizokuwa zitue JKIA zimeelekezwa kutua uwanja wa kimataifa wa Moi, Mombasa <!-- adsense -->

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles