Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

SKENDO YA KUMPIGA RIHANNA YAMKERA CHRISS BROWN...ANADAI KACHOKA KUANDIKWA VIBAYA NA ANAFIKIRIA KUACHA MUZIKI

$
0
0
  Chris Brown anafikiria kuachana kabisa na muziki siku za usoni na amesema huenda X ikawa albam yake ya mwisho.  Breezy ametumia akaunti yake ya Twitter kuelezea kuchoshwa na kuandikwa vibaya kila kukicha kutokana na kosa alilolifanya akiwa na miaka 18 la kumpiga aliyekuwa mpenzi wake Rihanna.   Wataalamu wa mambo wanasema Chris Brown ameandika hivyo kutokana na msongo wa mawazo alionao

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>