Moto mkubwa unaripotiwa kuzuka asubuhi hii katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyetta (JKIA) jijini Nairobi.
Chanzo
cha moto huo bado hakijatambulika na juhudi za kuuzima zinaendelea,
ambapo vikosi mbalimbali vya zimamoto vipo uwanjani hapo kuthibiti janga
hilo.
Uwanja huo hivi sasa umefungwa na hakuna ndege kutua ama kuruka isipokuwa kwa dharura tu.
Moto
huo
↧