Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MIHADHARA YA SHEIKH PONDA YAPIGWA MARUFUKU KATIKA ARDHI YA ZANZIBAR

$
0
0
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imempiga marufuku Katibu wa Jumuiya ya taasisi ya Kiislamu shekhe Issa Ponda Issa kuendesha mihadhara ya kidini katika ardhi ya Zanzibar yenye muelekeo wa kuleta mifarakano, chuki na uhasama.Makamo wa pili wa rais balozi Seif Ali Iddi alisema hayo wakati akiahirisha kikao cha Baraza la Wawakilishi cha bajeti kwa mwaka wa fedha 2013-2014.Balozi Seif

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>