MSANII wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini ‘Dudu Baya’ ameswekwa rumande kwa
kudaiwa kuchoma nyumba ya baba wa msanii mwenzake ‘Geez Mabovu’,
Mashaka Mrisho.
Tukio hilo lilitokea Agosti 1, mwaka huu
ambapo mwenye nyumba sambamba na polisi walimkamata Dudu Baya na mkewe
Mariam kwa madai ya kuchoma moto nyumba kwa makusudi na kuwapeleka
katika Kituo cha Polisi Oysterbay.
“Mkewe alitupia mkaa
↧