Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

SABABU MBILI ZILIZOMFANYA MADAM RITA AIHAMISHIE BONGO STAR SEARCH TBC1

$
0
0
  Epiq Bongo Star Search ya mwaka 2013 haitaoneshwa tena kupitia ITV. Mwaka huu shindano hilo la kusaka vipaji vya kuimba litakuwa likioneshwa kupitia TBC1.  Kupitia Facebook, Rita Paulsen aka Madam Rita ambaye ni mwanzilishi na jaji mkuu wa shindano hilo ametoa sababu mbili za kuhamisha matangazo hayo kutoka ITV hadi TBC1. “Baada ya kusoma maoni yenu, ningependa kufafanua sababu mbili

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>